iqna

IQNA

andalusia
TEHRAN (IQNA)- Mgogoro kuhusu umiliki wa Msikiti Mkuu wa Crodoba nchini Uhispania unaendelea kutokota baada ya kamati iliyoteuliwa na Baraza la Mji wa Cordoba kupinga hatua ya Kanisa Katoloki kuchukua udhibiti wa msikiti huo.
Habari ID: 3471677    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/17

Mwanamke Mwislamu mkaazi wa Uhispania
IQNA: Bi. Bushra Ibrahimi ni Mwislamu mkaazi wa Uhispania ambaye anasema Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya wanakumbwa na masaibu mengi.
Habari ID: 3470836    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/06