IQNA

Maonyesho ya Qur'ani

Kitengo cha Hijabu katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran kuwavutia wengi

IQNA - Mkuu wa sehemu ya Hijabu na Ifaf ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ameleeza kuwa ni moja ya sehemu zinazotembelewa zaidi katika...
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya 10 ya Qur'ani Ulaya yamepangwa kufanyika Hamburg, Ujerumani

IQNA – Mji wa Hamburg nchini Ujerumani utakuwa mwenyeji wa Awamu ya 10 ya Mashindano ya Qur'ani ya Ulaya mwezi ujao. Kituo cha Dar-ol-Qur'ani al-Kareem...
Mwezi wa Ramadhani

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 8

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 8 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Mwezi wa Ramadhani

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Nane

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
Habari Maalumu
Mtaalamu wa Kipindi cha Televisheni cha Mahfel: Mwenyezi Mungu Hubariki Kazi za Qur’ani­­
Utamaduni wa Qur'ani

Mtaalamu wa Kipindi cha Televisheni cha Mahfel: Mwenyezi Mungu Hubariki Kazi za Qur’ani­­

IQNA – Kipindi maalum cha televisheni cha Mwezi wa Ramadhani  cha ‘Mahfel’ ni kazi ya Qur’ani na ndiyo maana kimebarikiwa na Mwenyezi Mungu, mmoja wa wataalamu...
18 Mar 2024, 22:10
Ramadhani katika Maneno ya Mtukufu Mtume (SAW)
Ramadhani katika Qur'an /3

Ramadhani katika Maneno ya Mtukufu Mtume (SAW)

IQNA - Moja ya Hadith maarufu zilizosimuliwa kuhusu Ramadhani ni katika khutba ya Mtukufu Mtume (SAW) iliyotolewa katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi wa Shaaban.
18 Mar 2024, 08:14
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 7
Mwezi wa Ramadhani

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 7

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 7 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
18 Mar 2024, 09:51
Rais Samia wa Tanzania awatunuku zawadi washindi mashindano ya Qur'ani
Mashindano ya Qur'ani

Rais Samia wa Tanzania awatunuku zawadi washindi mashindano ya Qur'ani

IQNA-Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa zawadi ya Sh milioni 10 kwa washindi wa kitaifa wa mashindano ya kuhifadhi Quran,...
18 Mar 2024, 07:17
Mkutano wa kukurubisha madhehebu za Kiislamu wafanyika Makka
Umoja wa Waislamu

Mkutano wa kukurubisha madhehebu za Kiislamu wafanyika Makka

IQNA - Jumuiya ya Waislamu Duniani (WML) imeandaa mkutano unaolenga kukuza maelewano kati ya madhehebu za Kiislamu.
18 Mar 2024, 06:22
Huduma maalum kwa Waislamu Milioni 5.2 wanaotembelea Msikiti wa Mtume (SAW)
Al-Masjid an-Nabawi

Huduma maalum kwa Waislamu Milioni 5.2 wanaotembelea Msikiti wa Mtume (SAW)

IQNA – Msikiti wa Mtume (SAW) Al-Masjid an-Nabawi katika mji wa Madina nchini Saudia ulishuhudia Waislamu wengi wakitiririka katika siku za kwanza za...
17 Mar 2024, 20:54
Televisheni ya Al-Thaqalayn yazindua Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani
Mashindano ya Qur'ani

Televisheni ya Al-Thaqalayn yazindua Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani

IQNA - Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn imeanza kurusha mashindano yake ya kwanza la kimataifa la usomaji wa Tarteel wa Qur'ani Tukufu.
17 Mar 2024, 20:38
Waislamu Houston Marekani wasusia futari kuonyesha mshikamano na Gaza
Waislamu Marekani

Waislamu Houston Marekani wasusia futari kuonyesha mshikamano na Gaza

IQNA - Huko Houston, Marekani Waislamu wametangaza kususia hafla ya 25 ya kila mwaka ya Futari ambayo kulalmikia mwaliko kwa viongozi wa serikali.
17 Mar 2024, 16:14
Maktaba Riyadh yazindua maonyesho ya Misahafu iliyopambwa
Utamaduni

Maktaba Riyadh yazindua maonyesho ya Misahafu iliyopambwa

IQNA - Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz mjini Riyadh imezindua maonyesho yenye nakala 42 za Qur'ani 42 ambazo kila moja imeandikwa kwa kaligrafia ya...
17 Mar 2024, 15:34
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Sita
Mwezi wa Ramadhani

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Sita

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
17 Mar 2024, 05:26
OIC yasisitiza Quds Tukufu ni sehemu isiyoweza kutenganishwa ya Palestina
Kadhia ya Palestina

OIC yasisitiza Quds Tukufu ni sehemu isiyoweza kutenganishwa ya Palestina

IQNA- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza katika taarifa yake kwamba, mji wa Quds (Jerusalem) ni sehemu isiyoweza kutenganishwa na ardhi...
16 Mar 2024, 18:22
Mwimbaji wa Korea asema alisilimu baada ya kuvutiwa na Qur’ani
Mwezi wa Ramadhani

Mwimbaji wa Korea asema alisilimu baada ya kuvutiwa na Qur’ani

IQNA - Daud Kim, mwimbaji maarufu wa pop wa Korea Kusini na YouTuber, amesimulia namna alivyoukubali Uislamu kuwa muongozo katika maisha yake.
16 Mar 2024, 17:58
Maana ya Ramadhani
Mwezi wa Ramadhani

Maana ya Ramadhani

IQNA-Neno Ramadhani linatokana na mzizi wa "Ra Ma Dha" na muundo wake wa wingi ni Ramadanat na Armidha. Maana yake ni joto kali na inasemekana Waarabu...
16 Mar 2024, 18:13
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Tano
Mwezi wa Ramadhani

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya Tano

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
16 Mar 2024, 05:47
Raia wa Afrika wanaoshiriki katika vita vya Israel dhidi ya Gaza kukamatwa wakirejea nyumbani
Kadhia ya Palestina

Raia wa Afrika wanaoshiriki katika vita vya Israel dhidi ya Gaza kukamatwa wakirejea nyumbani

IQNA-Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini amesema kuwa, raia yeyote wa nchi hiyo atakayeusaidia utawala wa Kizayuni katika vita vya Ukanda wa...
16 Mar 2024, 06:28
'Hatua ya Hatari': Utawala wa Israel walaaniwa kwa kuweka vizuizi huko Al-Aqsa
Jinai za Wazayuni

'Hatua ya Hatari': Utawala wa Israel walaaniwa kwa kuweka vizuizi huko Al-Aqsa

IQNA - Lawama zimeongezeka baada ya utawala ghasibu wa Israel kuweka vizuizi katika milango mitatu ya kuelekea Msikiti wa Al-Aqsa katika eneo la Quds (Jerusalem)...
15 Mar 2024, 16:13
Picha‎ - Filamu‎