IQNA

Viongozi wa Kiislamu katika BRICS wasisitiza kuhifadhi na kukuza maadili ya familia

IQNA – Viongozi wa Kiislamu kutoka nchi wanachama wa BRICS wametoa tamko la pamoja wakisisitiza kuwa, kutokana na hali ya sasa ya dunia, jukumu kuu na...

Mtaalamu Maalum wa UN: Mahusiano yote na Israel yakatwe kabisa

IQNA – Akielezea unyama unaoendelea kufanywa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina, Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina...

Syria Yazindua ‘Mushaf al-Sham’ Katika Maonesho ya Kimataifa ya Damascus

IQNA – Nakala maalum ya Qur’ani ya Kitaifa ya Syria, inayojulikana kama Mushaf al-Sham, imeonyeshwa rasmi katika banda la Wizara ya Wakfu wakati wa Maonesho...

Msomi aangazia suluhisho za Mapinduzi ya Kiislamu kwa migogoro ya kisasa 

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi kutoka Iran amesema kuwa kulinganisha mtazamo wa Tauhidi wa Mapinduzi ya Kiislamu na mtazamo wa kisekula wa Magharibi kunasaidia...
Habari Maalumu
Mwanazuoni: Qur'ani Inafaa kwa zama zote

Mwanazuoni: Qur'ani Inafaa kwa zama zote

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Mohammad-Taqi Fayyazbakhsh, amesema kuwa Qur'ani Tukufu inaendelea kuwa ya kisasa na yenye mwongozo kwa kila zama na kila...
05 Sep 2025, 17:58
Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wameinua bendera ya Jihadi dhidi ya mabeberu wa zama

Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wameinua bendera ya Jihadi dhidi ya mabeberu wa zama

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah, Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, amesisitiza kuwa watu wa Yemen wanaendelea kufuata mwenendo wa Mtume Muhammad...
04 Sep 2025, 22:13
Kuzindua dunia kuhusu Masaibu ya Wapalestina ni miongoni mwa malengo ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu
Ayatullah Mohammad Hassan Akhtari

Kuzindua dunia kuhusu Masaibu ya Wapalestina ni miongoni mwa malengo ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu

IQNA – Miongoni mwa malengo makuu ya shughuli na mikakati ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu ni kuvuta hisia za dunia kuhusu dhulma na masaibu yanayowakumba...
04 Sep 2025, 17:58
Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka Nchi za ASEAN waenziwa huko Kuala Lumpur

Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka Nchi za ASEAN waenziwa huko Kuala Lumpur

IQNA – Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) wamepongezwa kwa mafanikio yao katika...
03 Sep 2025, 17:47
Raia wa Argentina akumbatia Uislamu nchini Misri

Raia wa Argentina akumbatia Uislamu nchini Misri

IQNA – Raia mmoja wa Argentina ameukumbatia Uislamu (amesilimu) katika Msikiti wa Mina uliopo katika jiji la Hurghada, nchini Misri.
03 Sep 2025, 17:42
Watu 97,000 watembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Madina mwezi Agosti

Watu 97,000 watembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Madina mwezi Agosti

IQNA – Zaidi ya watu 97,000 kutoka mataifa mbalimbali walitembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Mfalme Fahd kilichopo Madina, Saudi Arabia mwezi Agosti...
03 Sep 2025, 17:37
Iran yaanza maandalizi ya Hija ya mwaka ujao

Iran yaanza maandalizi ya Hija ya mwaka ujao

IQNA – Baraza la Mipango na Uratibu kutoka ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu katika Masuala ya Hija na Ziara, pamoja na Shirika la Hija na Ziara...
03 Sep 2025, 17:34
Makumbusho ya Houston Yaonesha Karne za Sanaa ya Qur’ani Katika Maonyesho Mapya

Makumbusho ya Houston Yaonesha Karne za Sanaa ya Qur’ani Katika Maonyesho Mapya

IQNA – Jumba la Makumbusho ya Sanaa la Houston, jimbo la Texas nchini Marekani, linaandaa maonyesho ya nakala za Qur’ani kutoka maeneo mbalimbali ya ulimwengu...
03 Sep 2025, 17:29
Msikiti wa Basildon Uingereza waharibiwa katika tukio la Chuki Dhidi ya Waislamu

Msikiti wa Basildon Uingereza waharibiwa katika tukio la Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA – Uharibifu wa msikiti mmoja huko Basildon wiki iliyopita umekemewa vikali na umeibua wasiwasi mpya kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)...
02 Sep 2025, 16:55
Msikiti Maarufu wa al-Nouri Wafunguliwa Rasmi Nchini Iraq, Mosul

Msikiti Maarufu wa al-Nouri Wafunguliwa Rasmi Nchini Iraq, Mosul

IQNA – Msikiti wa kihistoria wa al-Nouri, ulioko katika jiji la Mosul kaskazini mwa Iraq, umefunguliwa rasmi baada ya kukamilika kwa operesheni ya ukarabati.
02 Sep 2025, 16:51
Shirikisho la wasomi wa Qur’ani la Misri, lenye lengo la kugundua vipaji vipya kupitia mashindano ya kitaifa

Shirikisho la wasomi wa Qur’ani la Misri, lenye lengo la kugundua vipaji vipya kupitia mashindano ya kitaifa

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana...
02 Sep 2025, 16:45
Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa Nchini Tunisia yaanza sambamba na Miald-un-Nabi

Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa Nchini Tunisia yaanza sambamba na Miald-un-Nabi

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya usomaji wa Qur’ani na uhifadhi wa Hadithi za Mtume Muhamad (SAW) yalifanyika katika jiji la Kairouan, Tunisia.
02 Sep 2025, 16:38
Mwanazuoni wa Qur’ani wa Misri atangaza kumaliza ‘Mushaf Al-Ummah’

Mwanazuoni wa Qur’ani wa Misri atangaza kumaliza ‘Mushaf Al-Ummah’

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Maasrawi, ambaye ameishi Malaysia kwa miaka kadhaa, ametangaza kukamilisha mradi wake wa pamoja na Taasisi ya Uchapishaji wa Qur’ani...
02 Sep 2025, 16:29
Huruma na Hekima ya Mtume Muammad (SAW) Zilibadilisha Makabila na Kuunda Jamii Moja

Huruma na Hekima ya Mtume Muammad (SAW) Zilibadilisha Makabila na Kuunda Jamii Moja

IQNA – Mtume Muhammad (SAW) alifanikiwa kuunda jamii moja kutoka kwa makabila yaliyoachana kwa kutumia huruma na rehema zake, amesema msomi mmoja nchini...
01 Sep 2025, 20:58
Kiongozi wa Hizbullah atuma rambirambi baada ya Israel kuwaua kigaidi viongozi wa Yemen

Kiongozi wa Hizbullah atuma rambirambi baada ya Israel kuwaua kigaidi viongozi wa Yemen

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, ametuma salamu za rambirambi kwa taifa la Yemen kufuatia kuuawa shahidi kwa Waziri Mkuu wa...
01 Sep 2025, 17:31
Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Uongozi wa Palestina wa Jimbo la al-Quds umetangaza kuwa Israel inafanya uchimbaji haramu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa ulioko Mashariki mwa al-Quds...
01 Sep 2025, 12:59
Picha‎ - Filamu‎