IQNA

Jaribio la kigaidi la kuchoma moto Chumba cha Sala cha Waislamu mashariki mwa Ufaransa

IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeanzisha uchunguzi kufuatia jaribio la kuchoma moto chumba cha kusalia cha Waislamu mjini Châtillon-sur-Seine, tukio ambalo...

Wamalaysia watumia njia ya heshima ya kuweka mbali Misahafu iliyochakaa

IQNA – Jimbo la Sarawak, Malaysia limeanzisha mbinu rafiki kwa mazingira katika kuheshimu na kuondosha nakala zilizochakaa za Misahafu au Qur’an Tukufu.

Zaidi ya Wafanyaziyara milioni 21 Washiriki matembezi ya Arbaeen Iraq

IQNA – Zaidi ya wafanyaziyara milioni 21 wameshiriki katika ziara ya Arbaeen mwaka huu nchini Iraq, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na haram ya Abul-Fadhlil...

Jaji Muirani asifu Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an ya Malaysia

IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani kutoka Iran, Gholam Reza Shahmiveh, amepongeza historia ndefu ya Malaysia katika kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani,...
Habari Maalumu
Turathi za Qur’ani za marehemu Qari Farajullah Shazli zahifadhiwa katika Idhaa ya Qur’an ya Misri

Turathi za Qur’ani za marehemu Qari Farajullah Shazli zahifadhiwa katika Idhaa ya Qur’an ya Misri

IQNA – Mkusanyiko wa turathi za kitamaduni na kazi binafsi za Qur’an za Marehemu Sheikh Farajullah Shazli, mmoja wa maqari mashuhuri wa Misri, umewasilishwa...
16 Aug 2025, 15:43
Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Makkah zakamilika

Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Makkah zakamilika

IQNA – Raundi ya mwisho ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na Kufasiri Qur’ani Tukufu imemalizika Alhamisi katika...
15 Aug 2025, 21:04
Wizara ya Wakfu ya Morocco ina mpango ya kutoa mafunzo kwa maimamu 48,000

Wizara ya Wakfu ya Morocco ina mpango ya kutoa mafunzo kwa maimamu 48,000

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Morocco imetangaza mpango mkubwa wa miaka mitatu wa kuwapa mafunzo mapya maimamu 48,000 wa misikiti kote...
15 Aug 2025, 20:57
Uwezo wa Kiustaarabu wa Arbaeen Wazidi Kudhihirika Kila Siku

Uwezo wa Kiustaarabu wa Arbaeen Wazidi Kudhihirika Kila Siku

IQNA – Uwezo wa kiustaarabu na wa kujenga taifa ulio ndani ya matembezi n a ziyara yakila mwaka ya Arbaeen unazidi kudhihirika kadiri siku zinavyosonga,...
15 Aug 2025, 20:46
Wafanyaziara Milioni nne wamefika Iraq kushiriki hafla ya Arbaeen

Wafanyaziara Milioni nne wamefika Iraq kushiriki hafla ya Arbaeen

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa wafanyaziara wa kigenizaidi ya milioni 4.1 wameshiriki katika ziara ya mwaka huu ya Arbaeen.
15 Aug 2025, 20:31
Rais wa Misri ahimiza ustawishaji wa tovuti ya Idhaa ya Qur’an Tukufu

Rais wa Misri ahimiza ustawishaji wa tovuti ya Idhaa ya Qur’an Tukufu

IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri amesisitiza umuhimu wa kuendeleza tovuti ya kimataifa ya Idhaa ya Qur’an Tukufu ya nchi hiyo.
15 Aug 2025, 20:16
Maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) yavutia mamilioni ya Waislamu

Maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) yavutia mamilioni ya Waislamu

IQNA-Mamilioni ya Waislamu kutoka pembe mbalimbali za dunia wamekusanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha Arbaeen au Arubaini ya...
14 Aug 2025, 22:51
Maadhimisho ya Arbaeen yadhihirisha umoja na msimamo wa Waislamu Dhidi ya Dhulma

Maadhimisho ya Arbaeen yadhihirisha umoja na msimamo wa Waislamu Dhidi ya Dhulma

IQNA – Katika ziara ya Arbaeen, Waislamu hukusanyika kwa mshikamano ili kufikisha ujumbe wa pamoja wa kusimama imara na kudai haki, amesema afisa wa Kiirani.
14 Aug 2025, 23:09
Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

IQNA – Kamati Kuu ya Iraq ya Uratibu wa Wafanyaziyara Mamilioni imetangaza kuwa hadi sasa hakuna ukiukaji wowote wa usalama ulioripotiwa wakati wa matembezi...
14 Aug 2025, 00:05
Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

IQNA – Jukwaa la Kielimu la Qur’ani Tukufu, linalohusiana na Astan (uwakilishi wa ulinzi na usimamizi) wa Haram ya Hazrat Abbas (AS), linaandaa programu...
13 Aug 2025, 23:54
Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

IQNA – Shughuli za kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) zimezinduliwa rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
13 Aug 2025, 23:46
Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

IQNA – Mwanamke mchanga Muislamu aliyevaa hijaab ameshambuliwa na kutishiwa maisha ndani ya basi la jiji la Ottawa, Canada eneo la Kanata, katika tukio...
13 Aug 2025, 23:36
Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

IQNA – Mashindano ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen yametangaza rasmi mwaliko wa ushiriki katika nyanja mbalimbali za sanaa na fasihi.
13 Aug 2025, 23:21
Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

IQNA – Pendekezo la kutangaza Adhana mara moja kwa wiki kutoka Msikiti wa Lakemba limekataliwa na baraza la eneo hilo, lakini viongozi wa jamii wamesema...
13 Aug 2025, 00:01
Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Mashirika 14 ya Kiislamu nchini Uholanzi yamewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya mwanasiasa wa mrengo mkali wa kulia na anayepinga Uislamu, Geert...
12 Aug 2025, 23:52
Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Ayatullah Ali al-Sistani amewataka wafanyaziyara wa Arbaeen kudumisha swala kwa wakati, ikhlasi ya moyo na na mavazi ya heshima na yenye staha katika...
12 Aug 2025, 23:40
Picha‎ - Filamu‎