IQNA – Hafla ya kuwaaga wafanyakazi wa kujitolea wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) ilifanyika mnamo Julai 26, 2025, katika Haram ya Imam Khomeini, kusini mwa Tehran, kabla ya kuelekea Iraq kwa ajili ya hija ya Arbaeen.
IQNA-Katika kuunga mkono kampeni ya Qur’ani Tukufu iitwayo Fath inayoendeshwa na Shirika la Habari la Kimataifa la Qur’ani (IQNA), msomaji mashuhuri na mwalimu wa kimataifa wa Qur’ani, Ali Akbar Kazemi, amesoma kwa tartili Aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
Kama si tukio la Karbala na kuiga mfano wa mashujaa wake, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yasingalipata ushindi.
[Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu; 26 Juni 1993]
IQNA – Haram tukufu ya Shah Cheragh (AS) iliyoko katika jiji la Shiraz, kusini mwa Iran, iliandaa kikao cha usomaji wa Qur'an Tukufu jioni ya Jumatatu, tarehe 14 Julai 2025.