IQNA

Hoja za Qur'ani za Bibi Fatima Zahra (SA) ni kielelezo kwa Waislamu wote

Hoja za Qur'ani za Bibi Fatima Zahra (SA) ni kielelezo kwa Waislamu wote

IQNA-Profesa mmoja wa chuo kikuu kutoka Algeria amesema kuwa hoja za Qur'ani Tukufu alizotumia Bibi Fatimah Zahra (SA) katika kutetea misingi ya haki na uadilifu ni kielelezo cha vitendo ambacho Waislamu wote wanapaswa kukifuata.
11:37 , 2025 Dec 12
Al-Azhar yawaenzi dada watatu Wamisri waliohifadhi Qur'ani

Al-Azhar yawaenzi dada watatu Wamisri waliohifadhi Qur'ani

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar katika mkoa wa Aswan, Misri, kimewatunuku zawadi na heshima maalumu dada watatu Wamisri waliokamilisha kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
11:29 , 2025 Dec 12
Wakaazi wasafisha Msikiti uliohujumiwa Virginia Marekani

Wakaazi wasafisha Msikiti uliohujumiwa Virginia Marekani

IQNA-Jamii ya wakazi na majirani wa jiji la Norfolk, jimbo la Virginia nchini Marekani, wamejitokeza kwa wingi kusafisha na kurejesha hadhi ya Msikiti wa Masjid Ash Shura baada ya kuchafuliwa kwa maandishi ya chuki, huku polisi wakiomba msaada wa umma kumtambua mtuhumiwa.
11:22 , 2025 Dec 12
Kiongozi wa  Ansarullah alaani ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wanawake wa Palestina

Kiongozi wa Ansarullah alaani ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wanawake wa Palestina

IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen, Abdul‑Malik al‑Houthi, amelaani vikali ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wanawake wa Palestina, akisema maelfu ya wanawake—akiwemo wajawazito, wasichana wadogo na wazee—wameuawa katika maeneo yote yanayokaliwa kwa mabavu.
11:17 , 2025 Dec 12
Mashindano ya Qur'ani Tukufu Oman Yatangaza Washindi

Mashindano ya Qur'ani Tukufu Oman Yatangaza Washindi

IQNA – Washindi wa juu wa Mashindano ya 33 ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman wametangazwa rasmi.
11:11 , 2025 Dec 12
Imam Khamenei: Iran inasonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu mengi

Imam Khamenei: Iran inasonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu mengi

IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapiga hatua na kusonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu mengi.
20:49 , 2025 Dec 11
Ripoti: Mufti wa zamani wa Syria ahukumiwa kifo

Ripoti: Mufti wa zamani wa Syria ahukumiwa kifo

IQNA – Baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kuwa Sheikh Badreddin Hassoun, aliyewahi kuwa Mufti Mkuu wa Syria katika utawala wa Bashar al-Assad, amehukumiwa adhabu ya kifo.
15:08 , 2025 Dec 11
Mchango wa Wanawake Katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Mchango wa Wanawake Katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA – Afisa wa Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ambayo hufanyika Tehran kila mwaka.
14:16 , 2025 Dec 11
Hafla ya usomaji wa Qur’ani katika Haram ya Imamu Ali (AS)

Hafla ya usomaji wa Qur’ani katika Haram ya Imamu Ali (AS)

IQNA – Hafla maalumu ya usomaji wa Qur’ani Tukufu imefanyika wiki hii katika haram tukufu ya Imamu Ali (AS) mjini Najaf, Iraq.
13:55 , 2025 Dec 11
Nakala 300 za Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) zasambazwa Indonesia

Nakala 300 za Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) zasambazwa Indonesia

IQNA – Katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vipofu nchini Indonesia, nakalah 300 za Qur’ani ya kidijitali kwa mfumo wa nukta nundu (Braille) zilisambazwa kwa washiriki wenye uoni hafifu au ulemavu wa macho.
17:45 , 2025 Dec 10
Maonyesho yafanyika pembeni mwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

Maonyesho yafanyika pembeni mwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
17:35 , 2025 Dec 10
Darasa za kuhifadhi Qur’ani zinaendelea Gaza licha ya vikwazo

Darasa za kuhifadhi Qur’ani zinaendelea Gaza licha ya vikwazo

IQNA – Licha ya vizuizi vya utawala katili wa Israel na ukosefu wa vifaa, Wapalestina Gaza bado wana hamu ya kujifunza na kuhifadhi Qur’ani Tukufu, na wanashiriki katika vikao vya Qur’ani Tukufu.
17:09 , 2025 Dec 10
Haram ya Imam Ali (AS) yapambwa kwa maua katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bibi Zahra (AS)

Haram ya Imam Ali (AS) yapambwa kwa maua katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bibi Zahra (AS)

IQNA – Kadiri siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (AS) inavyokaribia, maelfu ya matawi ya maua halisi yamepamba uwanja na ukumbi wa haram tukufu ya Imam Ali (AS).
16:56 , 2025 Dec 10
Msomi: Urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt usiojulikana miongoni mwa Waislamu wengi

Msomi: Urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt usiojulikana miongoni mwa Waislamu wengi

IQNA – Leo, licha ya kuwepo kwa mamia ya majukwaa ya kielimu na ya vyombo vya habari, urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt (AS) bado haujulikani kwa Waislamu wengi duniani, alisema Sheikh Khairuddin Ali al-Hadi, mwanazuoni mashuhuri kutoka Iraq.
16:48 , 2025 Dec 10
Istighfar katika Qur’ani na Maneno ya Imam Ali (AS)

Istighfar katika Qur’ani na Maneno ya Imam Ali (AS)

IQNA – Katika Hadithi, Imam Ali (AS) amebainisha hakika ya kuomba msamaha na vigezo vya Istighfar (kuomba maghfirah).
16:18 , 2025 Dec 09
1