IQNA

Mabadiliko ya kidijitali katika Misikiti Miwili Mitakatifu ya Makka na Madina yaboresha huduma kwa waumini

Mabadiliko ya kidijitali katika Misikiti Miwili Mitakatifu ya Makka na Madina yaboresha huduma kwa waumini

IQNA – Mamlaka Kuu ya Masuala ya Misikiti Miwili Mitakatifu imetangaza mafanikio ya utekelezaji wa mazingira ya kidijitali katika Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume (SAW) mjini Madina.
17:51 , 2025 Sep 19
Hamas na Harakati ya Jihad ya Kiislamu walaani Veto ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza

Hamas na Harakati ya Jihad ya Kiislamu walaani Veto ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza

IQNA – Harakati za mapambano ya ukombozi wa Wapalestina, Hamas na Jihad ya Kiislamu, zimetoa matamko ya kulaani hatua ya Marekani kutumia kura ya turufu au veto kuzuia kupitishwa kwa rasimu ya azimio la kusitisha vita Gaza, wakisema kuwa hatua hiyo inachochea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
17:39 , 2025 Sep 19
Msomi wa Kiislamu: Mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) ni njia ya Umoja wa Kiislamu

Msomi wa Kiislamu: Mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) ni njia ya Umoja wa Kiislamu

IQNA – Sheikh Abdullah Daqaq, Mkurugenzi wa Chuo cha Kiislamu cha Bahrain kilichoko Qom, amesema kuwa Mtume Muhammad (SAW) ni rehema kwa wanadamu wote, na kwamba umoja wa kweli katika ulimwengu wa Kiislamu unategemea kushikamana na mafundisho yake.
17:29 , 2025 Sep 19
Watoto yatima wa Kipalestina katika kambi za Gaza wahifadhi Qur’ani Tukufu wakati wa mauaji ya kimbari

Watoto yatima wa Kipalestina katika kambi za Gaza wahifadhi Qur’ani Tukufu wakati wa mauaji ya kimbari

IQNA – Katikati ya vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelea na mashambulizi yasiyokoma ya Israel dhidi ya Gaza, watoto wa Kipalestina waliopoteza makazi wanapata faraja kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu ndani ya kambi za wakimbizi.
17:19 , 2025 Sep 19
Wahifadhi kutoka nchi 29 washiriki fainali ya Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu Afrika Kusini

Wahifadhi kutoka nchi 29 washiriki fainali ya Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu Afrika Kusini

IQNA – Hatua ya mwisho ya mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza Alhamisi katika mji mkuu wa Afrika Kusini, ikiwakutanisha washiriki kutoka nchi 29.
17:11 , 2025 Sep 19
Hizbullah yatangaza mpango wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashahidi Nasrallah na Safieddine

Hizbullah yatangaza mpango wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashahidi Nasrallah na Safieddine

IQNA – Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imetangaza ratiba ya shughuli za kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa viongozi wake mashuhuri, Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashem Safieddine.
21:33 , 2025 Sep 17
Mwanasiasa wa Iraq: Sira ya Mtume(SAW) Ni Ramani ya Umoja

Mwanasiasa wa Iraq: Sira ya Mtume(SAW) Ni Ramani ya Umoja

IQNA – Sheikh Maan bin Ali al-Jarba, Mwenyekiti wa Umoja wa Makabila ya Waarabu wa Iraq, amesema kuwa Sira ya Mtume Muhammad (SAW) inatoa mafunzo muhimu kuhusu umoja na uongozi unaoheshimu haki za raia wote.
21:21 , 2025 Sep 17
Usajili wazi kwa Tuzo ya 28 ya Qur’ani na Sunna Sharjah, UAE

Usajili wazi kwa Tuzo ya 28 ya Qur’ani na Sunna Sharjah, UAE

IQNA – Maandalizi ya toleo la 28 la Tuzo ya Qur’ani na Sunna ya Sharjah (1447H / 2025) yameanza rasmi katika mji wa Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
21:09 , 2025 Sep 17
Utafiti wabaini Waislamu wawili kati ya watatu Ufaransa wameripoti kukumbwa na ubaguzi wa rangi

Utafiti wabaini Waislamu wawili kati ya watatu Ufaransa wameripoti kukumbwa na ubaguzi wa rangi

IQNA – Waislamu wawili kati ya watatu nchini Ufaransa wanasema wamekumbwa na tabia za kibaguzi, kwa mujibu wa utafiti mpya unaoangazia ubaguzi mpana katika ajira, makazi, na huduma za umma.
21:00 , 2025 Sep 17
Msomi wa Kiiraqi asisitiza umuhimu wa Umoja wa Kiislamu kama dhamira ya dharura

Msomi wa Kiiraqi asisitiza umuhimu wa Umoja wa Kiislamu kama dhamira ya dharura

IQNA – Mwenyekiti wa Baraza la Wasomi wa Rabat Muhammadi nchini Iraq amesema kuwa umoja wa Kiislamu sasa ni jambo la lazima kutokana na changamoto nzito zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu.
20:48 , 2025 Sep 17
Usomaji wa Qur’an wa mwana wa afisa wa Hamas aliyeuawa shahidi (+Video)

Usomaji wa Qur’an wa mwana wa afisa wa Hamas aliyeuawa shahidi (+Video)

IQNA – Video ya Tarteel ya Qur’an iliyosomwa na shahidi Hammam al-Hayya, mwana wa mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas, Khalil al-Hayya, ambaye aliuawa shahidi hivi karibuni nchini Qatar, imesambazwa mtandaoni.
21:58 , 2025 Sep 16
Ujumbe wa Al-Azhar kuhudhuria mkutano wa vongozi wa dini duniani nchini Kazakhstan

Ujumbe wa Al-Azhar kuhudhuria mkutano wa vongozi wa dini duniani nchini Kazakhstan

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri utashiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa 8 wa Viongozi wa Dini za Dunia na Jadi utakaofanyika Kazakhstan.
21:49 , 2025 Sep 16
Sheikh Zakzaky: Mwamko dhidi ya Unyama wa Israel Gaza umeimarika hata katika nchi za Magharibi

Sheikh Zakzaky: Mwamko dhidi ya Unyama wa Israel Gaza umeimarika hata katika nchi za Magharibi

IQNA – Kiongozi wa Harakati za Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky, amesema kumeshuhudiwa ongezeko la mwamko na uungaji mkono kwa Wapalestina katika nchi za Magharibi.
21:41 , 2025 Sep 16
Sheikh Taruti: Washiriki wote wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri ni washindi kupitia Tajiriba

Sheikh Taruti: Washiriki wote wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri ni washindi kupitia Tajiriba

IQNA – Sheikh Abdel Fattah Taruti, qari mashuhuri wa Misri na mjumbe wa majopo ya majaji wa mashindano ya Qur’ani ya “Dawlat al-Tilawa”, amesema kwamba kila mshiriki katika mashindano hayo ni mshindi, hata ikiwa hatofika katika hatua ya mwisho.
21:28 , 2025 Sep 16
Viongozi wa Kiarabu na Kiislamu walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Doha, watoa wito wa hatua za haraka

Viongozi wa Kiarabu na Kiislamu walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Doha, watoa wito wa hatua za haraka

IQNA – Viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wamelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji mkuu wa Qatar, Doha, wakionya kuwa hatua hiyo inahatarisha amani ya kikanda na wakitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti.
12:06 , 2025 Sep 16
1