iqna

IQNA

jihad islami
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina wamekutana na kusisitiza kuhusu ulazima wa kuimarisha na kudumisha umoja baina ya Wapalestina.
Habari ID: 3474057    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/30

TEHRAN (IQNA)- Nasser Abu Sharif, mwakilishi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina mjini Tehran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni muungaji mkono mkubwa zaidi wa harakati za kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3474045    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/26

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Ayatullah Ali Khamenei amejibu barua za viongozi wa harakati za mapambano ya kukomboa Palestina za Hamas na Jihad Islami akisisitiza kuwa: Nyoyo zetu ziko pamoja nanyi katika uwanja wa mapambano yenu, na hatimaye mtapata ushindi.
Habari ID: 3473941    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/24

TEHRAN (IQNA) – Harakati za mapambano ya kupigania ukombozi wa Palestina za Hamas na Jihad Islami zimetangaza kuunga mkono harakati za wananchi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni za kuteka eneo hilo.
Habari ID: 3472907    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/28

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kifo cha Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina Ramadan Abdullah Shalah.
Habari ID: 3472849    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/09

TEHRAN (IQNA) -Katibu Mkuu wa zamani Harakati ya Jihad Islami ya Palestina ameaga dunia hospitalini baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Habari ID: 3472844    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/07

TEHRAN (IQNA)- Kamanda mpya wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuwaunga mkono Wapalestina na kuhakikisha kuwa ndoto zao za kuwa taifa huru zinafanikiwa.
Habari ID: 3472433    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Pamoja na kuwa waitifaki wa utawala wa Kizayuni wanaibua migogoro mara kwa mara ili kadhia ya Palestina isahaulike, lakini ardhi hii takatifu itakombolewa kwa baraka za muqawama na jihadi ya taifa na makundi ya Palestina".
Habari ID: 3470743    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/14

Harakati za Kiislamu Palestina
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, na Harakati ya Palestina ya Jihad Islami zimelaani matamshi ya mwanamfalme wa Saudia katika kikao cha munafikina huko Paris.
Habari ID: 3470447    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/11

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema madola ya Magharibi yakiongozwa na Marekani yanataka kulidhibiti eneo la Magharibi mwa Asia kupitia vita vikubwa na vipana dhidi ya mrengo wa Uislamu.
Habari ID: 3470283    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/01