iqna

IQNA

nyuklia
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatua ya Marekani kurefusha vikwazo dhidi ya Iran kwa miaka 10 zaidi, bila ya shaka yoyote ni uvunjaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA.
Habari ID: 3470694    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asema mapatano ya nyuklia kati ya Iran na nchi za kundi la 5+1 maarufu kwa kifupi JCPOA ni tajiriba inayoonesha kutokuwa na matunda wala faida kufanya mazungumzo na Marekani .
Habari ID: 3470486    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/01

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa umma unapaswa kufahamishwa kuhusu hiana inayofanywa na Marekani katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
Habari ID: 3470406    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/21

Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesisitiza kuhusu kulindwa maslahi ya taifa la Iran katika utekelezwaji mapatano ya nyuklia kati ya Iran na madola sita makubwa duniani.
Habari ID: 3391463    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullahil-Udhma Sayyid Ali Khamenei, amesema taifa la Iran litaendelea kuwaunga mkono marafiki zake katika eneo la Mashariki ya Kati kama vile wananchi wa mataifa ya Yemen, Palestina, Bahrain, Iraq, Syria na Lebanon.
Habari ID: 3329110    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza na kushukuru juhudi, mapambano ya dhati na umakini wa timu ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran.
Habari ID: 3328599    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusiana na mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 5+1 kwamba, vikwazo vya kiuchumi, kifedha na kibenki dhidi ya taifa hili vinapaswa kuondolewa mara moja wakati wa kutiwa saini makubaliano na kwamba, kuondolewa vikwazo hivyo, hakupaswi kufungamanishwa na utekelezaji wa ahadi za Tehran.
Habari ID: 3318278    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran kamwe haitoruhusu kukaguliwa vituo vyake vya kijeshi.
Habari ID: 3306128    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema haafiki mazungumzo wakati kunakuwepo vitisho na hivyo wakuu wa sera za kigeni Iran na wanaoshiriki katika mazungumzo wanapaswa kulinda na kuzingatia kwa kina misingi na mistari myekundu.
Habari ID: 3269139    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/07

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa hajachukua hatua yoyote kuhusiana na maelewano ya mazungumzo ya nyuklia kati ya taifa hili na kundi la 5+1 kwa kuwa hadi sasa haijafika wakati wa kutoa maamuzi hasa kwa kutilia maanani kwamba bado viongozi wa serikali wamesema kuwa, bado makubaliano hasa hayajafikiwa.
Habari ID: 3116071    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuondolewa vikwazo ni sehemu ya mazungumzo ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1.
Habari ID: 3021914    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani kila mara unapokaribia muda ulioainishwa kwa ajili ya kumalizika mazungumzo, huwa kikwazo cha kukwamisha suala hilo na kwamba wanafanya hivyo ili kufikia malengo yao kupitia hila hizo.
Habari ID: 2971496    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/13

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: “Taifa la Iran daima limeonesha kuwa lina irada imara na lina uwezo na kuvunja njama za adui.”
Habari ID: 2869495    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/19

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema malengo na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu haiwezi kubadilika.
Habari ID: 2840031    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapaswa kuwa na aina ya kinga au chanjo ili kukabiliana na vikwazo inavyowekewa kutokana na miradi yake ya kuzalisha nishati ya nyuklia .
Habari ID: 2684306    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/07

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kujihisi kuwa na majukumu ya kibinadamu, kuwa na maarifa ya kumjua Mwenyezi Mungu na busuri, ni misingi mikuu ya fikra za kimantiki za jeshi la kujitolea la Basiji.
Habari ID: 2612444    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, silaha za nyuklia zinapingana kikamilifu na ubinadamu.
Habari ID: 1415874    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema shughuli za ustawi na utafiti wa nyuklia Iran kamwe hazitasimamishwa.
Habari ID: 1392769    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/10