iqna

IQNA

umra
Hija na Umrah
IQNA – Kikao cha kwanza cha Jukwaa la Hija na Umrah kimepangwa kuanza Jumatatu ijayo, Aprili 22, katika mji mtakatifu wa Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3478698    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/18

Umra 1445
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wanaokwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Umra au Hija ndogo wameonywa dhidi ya kutumia mawakala wasio na leseni.
Habari ID: 3477457    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18

Wanamichezo Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Mchezaji soka wa timu ya Senegal ambaye amesajiliwa na timu ya Soka ya Al Nassr ya Saudia hivi karibuni, Sadio Mane, ameshiriki katika ibada ya Hija ndogo ya Umrah huko Makka baada ya timu yake kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Zamalek kwenye Kombe la Klabu Bingwa ya Kiarabu 2023.
Habari ID: 3477386    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/05

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA) – Katika mpango uliobuniwa na mamlaka ya Saudia, Waislamu wapya 100 walitembelea Msikiti Mtakatifu wa Makka na Msikiti wa Mtume SAW mjini kutekeleza ibada ya Hija ndogo ya Umrah kwa mara ya kwanza.
Habari ID: 3476323    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29