Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Croatia alitwaa tuzo ya juu katika kategoria ya qiraa au kisomo.
Habari ID: 3475838 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25
TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sina Tabbakhi ameibuka mshindi katika Mashindano ya 27 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Croatia.
Habari ID: 3474350 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27
TEHRAN (IQNA)- Duru ya 27 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Croatia imeanza Jumatano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Zagreb.
Habari ID: 3474330 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/23
TEHRAN (IQNA)- Qarii (msomaji wa Qur'ani) ameibuka mshindi katika Mashindano ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Croatia yaliyomalizika Jumamosi.
Habari ID: 3471697 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/30