IQNA

Operesheni ya usafi yafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) wakati wa Wiki ya Karamat

Operesheni ya usafi yafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) wakati wa Wiki ya Karamat

IQNA – Operesheni maalumu ya usafi imefanyika katika haram takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, siku ya Jumamosi, kabla ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.
16:28 , 2025 May 05
Wizi wa Hati za Kiislamu: Jaribio la Wazayuni la kufuta utambulisho wa Waislamu

Wizi wa Hati za Kiislamu: Jaribio la Wazayuni la kufuta utambulisho wa Waislamu

IQNA – Utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unakalia ardhi za Palestina kwa mabavu umejaribu mbinu mbalimbali kuiba hati za kale za Kiislamu.
16:03 , 2025 May 05
Msomi: Hija Ni Fursa ya Kujitambua

Msomi: Hija Ni Fursa ya Kujitambua

IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija aameitaja safari ya Hija kama fursa ya dhahabu ya kujitambua na kupata uelewa wa kina zaidi wa Uislamu.
15:44 , 2025 May 05
Kanuni mpya zaibua changamoto katika mfumo wa elimu ya Qur'ani nchini Morocco

Kanuni mpya zaibua changamoto katika mfumo wa elimu ya Qur'ani nchini Morocco

IQNA – Taasisi za elimu za kitamaduni nchini Morocco zimekumbana na changamoto baada ya kuwasilishwa kwa kanuni mpya za kusaidia vituo binafsi vya Qur'ani.
15:32 , 2025 May 05
Ayatullah Khamenei: Hija ina manufaa kwa wanadamu wote

Ayatullah Khamenei: Hija ina manufaa kwa wanadamu wote

IQNA--Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amesema kuwa lengo la Mwenyezi Mungu katika kwa kuweka ibada ya Hija ni kuwasilisha kielelezo kamili na kinachoelekeza namna ya kuendesha maisha ya binadamu, na akaongeza: muundo na sura ya dhahiri ya ibada hii ni ya kisiasa kabisa, huku maudhui yake yakiwa ya kiroho na ya ibada, ili kuhakikisha manufaa kwa wanadamu wote.
21:29 , 2025 May 04
Mpalestina Aandika Kitabu kwa Wanaohifadhi Qur'ani Akiwa Gerezani Israel

Mpalestina Aandika Kitabu kwa Wanaohifadhi Qur'ani Akiwa Gerezani Israel

IQNA-Ramadhan Mushahara, Mpalestina mwenye umri wa miaka 49, amechapisha kitabu kiitwacho “Qur'ani kwa Wanaohifadhi”. Aliandika kitabu hiki akiwa gereza za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel, licha ya vizuizi vikubwa vya gerezani.
21:21 , 2025 May 04
Warsha wa nchini UAE kujadili Njia za Kufundisha Qur'ani kwa watoto

Warsha wa nchini UAE kujadili Njia za Kufundisha Qur'ani kwa watoto

IQNA- Warsha ya kielimu yenye kuhusu “Mbinu za Kufundisha Qur'ani kwa Watoto: Mitazamo ya Kihistoria na ya Kisasa”  imefanyka  huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
21:07 , 2025 May 04
Mkutano wa wanaharakati wa Qur'ani kutoka Khuzestan, Iran na Basra, Iraq

Mkutano wa wanaharakati wa Qur'ani kutoka Khuzestan, Iran na Basra, Iraq

IQNA-Mkutano wa pili wa Jumuiya ya Qur'ani ya mkoa wa Khuzestan nchini Iran na mkoa wa wa Basra nchini Iraq ulifanyika mapema wiki hii.
21:03 , 2025 May 04
Ongezeko la kauli za chuki nchini India baada ya shambulio la Pahalgam

Ongezeko la kauli za chuki nchini India baada ya shambulio la Pahalgam

IQNA-Ripoti mpya ya Taasisiya India Hate Lab (IHL) imebaini ongezeko kubwa la matukio ya hotuba na kauli za chuki katika maeneo mbalimbali nchini India kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea Pahalgam, Jammu na Kashmir, mnamo Aprili 21.
20:41 , 2025 May 04
17