Tehran – Ustadh Ja‘far Fardi, qari mashuhuri wa kimataifa kutoka Iran, usiku wa Ijumaa tarehe 30 Jumada l-Ula , alisoma ya aya tukufu za Qur’ani katika usiku wa kwanza wa maombolezo ya Bibi Fatima Zahra (AS) ndani ya Husseiniyya ya Imam Khomeini (MA) jijini Tehran.
15:51 , 2025 Nov 22