IQNA

Darasa za kuhifadhi Qur’ani zinaendelea Gaza licha ya vikwazo

Darasa za kuhifadhi Qur’ani zinaendelea Gaza licha ya vikwazo

IQNA – Licha ya vizuizi vya utawala katili wa Israel na ukosefu wa vifaa, Wapalestina Gaza bado wana hamu ya kujifunza na kuhifadhi Qur’ani Tukufu, na wanashiriki katika vikao vya Qur’ani Tukufu.
17:09 , 2025 Dec 10
Haram ya Imam Ali (AS) yapambwa kwa maua katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bibi Zahra (AS)

Haram ya Imam Ali (AS) yapambwa kwa maua katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bibi Zahra (AS)

IQNA – Kadiri siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (AS) inavyokaribia, maelfu ya matawi ya maua halisi yamepamba uwanja na ukumbi wa haram tukufu ya Imam Ali (AS).
16:56 , 2025 Dec 10
Msomi: Urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt usiojulikana miongoni mwa Waislamu wengi

Msomi: Urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt usiojulikana miongoni mwa Waislamu wengi

IQNA – Leo, licha ya kuwepo kwa mamia ya majukwaa ya kielimu na ya vyombo vya habari, urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt (AS) bado haujulikani kwa Waislamu wengi duniani, alisema Sheikh Khairuddin Ali al-Hadi, mwanazuoni mashuhuri kutoka Iraq.
16:48 , 2025 Dec 10
Istighfar katika Qur’ani na Maneno ya Imam Ali (AS)

Istighfar katika Qur’ani na Maneno ya Imam Ali (AS)

IQNA – Katika Hadithi, Imam Ali (AS) amebainisha hakika ya kuomba msamaha na vigezo vya Istighfar (kuomba maghfirah).
16:18 , 2025 Dec 09
Qur’ani Tukufu Kutarjumiwa kwa Lugha ya Kimaasai

Qur’ani Tukufu Kutarjumiwa kwa Lugha ya Kimaasai

IQNA – Tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kimaasai ipo mbioni kukamilika. Mradi huu mkubwa unaoendeshwa na Taasisi ya Mohammed Bakari ya Kenya unalenga kuimarisha ujumbe wa Uislamu miongoni mwa jamii zinazozungumza lugha ya Maa.
16:08 , 2025 Dec 09
Maelfu ya Maqari wa Qur’ani waomba dua ya amani na usalama Kano, Nigeria

Maelfu ya Maqari wa Qur’ani waomba dua ya amani na usalama Kano, Nigeria

IQNA – Kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya ujambazi na vurugu, Serikali ya Jimbo la Kano nchini Nigeria imeandaa kikao cha dua maalum mwishoni mwa wiki, ikiwakusanya Maqari au wasomaji wa Qur’ani Tukufu wapatao 4,444 kuomba msaada wa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya amani na usalama katika jimbo lote na nchi zima kwa ujumla.
15:40 , 2025 Dec 09
Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Iran: Hatua ya Awali Yaendelea

Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Iran: Hatua ya Awali Yaendelea

IQNA – Hatua ya awali ya Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza kwa ushiriki wa washiriki kutoka nchi mbalimbali. Washindani wa mwanzo katika raundi hii walitoka India, Jordan, Oman, Yemen, Misri na Libya, pamoja na nchi nyingine.
15:16 , 2025 Dec 09
Mashindano makali katika Mpango wa Qur’ani wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri

Mashindano makali katika Mpango wa Qur’ani wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri

IQNA – Katika vipindi vipya vya shindano la vipaji vya Qur’ani nchini Misri linaloitwa “Dawlat al-Tilawa” , washiriki walionyesha uwezo wao wa kusoma na kuhifadhi aya za Qur’ani Tukufu.
14:56 , 2025 Dec 09
PICHA: Kitengo cha  Mafundisho ya Kiislamu katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Iran

PICHA: Kitengo cha Mafundisho ya Kiislamu katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Iran

IQNA – Sherehe ya kufunga kwa hatua ya mwisho ya Shindano la 48 la Kitaifa la Quran la Iran katika Sehemu ya Mafundisho ya Kiislamu, pamoja na Sehemu ya Kimataifa kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa, ilifanyika Jumamosi, Desemba 6, 2025.
19:01 , 2025 Dec 08
Video: Mahmoud Shahat Anwar asoma Qur’ani kwenye ufunguzi wa Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Misri

Video: Mahmoud Shahat Anwar asoma Qur’ani kwenye ufunguzi wa Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Misri

IQNA – Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri yamefunguliwa tarehe 6 Disemba 2025 kwa qira’a ya qari mashuhuri wa Misri, Mahmoud Shahat Anwar.
18:29 , 2025 Dec 08
Mwanachuoni wa Qur’ani Sheikh Ahmed Mansour miongoni mwa majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri

Mwanachuoni wa Qur’ani Sheikh Ahmed Mansour miongoni mwa majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri

IQNA – Sheikh Ahmed Mansour ni qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri anayehudumu katika kamati ya majaji wa mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
18:24 , 2025 Dec 08
Msichana Muirani ashinda Mashindano ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho duniani

Msichana Muirani ashinda Mashindano ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho duniani

IQNA – Msichana Muirani ambaye amekamilisha kuhifadhi Qur'ani yote ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya Qur'an kwa walio na ulemavu wa macho katika ulimwengu wa Kiislamu.
18:17 , 2025 Dec 08
Al-Kawthar TV yazindua tangazo la Mashindano ya 19 ya Qur’ani “Inna lil-Muttaqeena Mafaza”

Al-Kawthar TV yazindua tangazo la Mashindano ya 19 ya Qur’ani “Inna lil-Muttaqeena Mafaza”

IQNA – Televisheni ya Al-Kawthar imechapisha rasmi tangazo la video la Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu mubashara, yatakayopeperushwa hewani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka 2026.
18:08 , 2025 Dec 08
Wawakilishi Kutoka Nchi 30 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Port Said 2026

Wawakilishi Kutoka Nchi 30 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Port Said 2026

IQNA – Toleo la tisa la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani na Utenzi wa Kidini la Port Said linatarajiwa kuanza mwishoni mwa Januari 2026 likihusisha ushiriki wa zaidi ya nchi 30, waandaaji wametangaza.
17:02 , 2025 Dec 08
Zaidi ya Nchi 70 Zashiriki Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

Zaidi ya Nchi 70 Zashiriki Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

IQNA – Toleo la 32 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Misri limeanza Jumamosi katika Mji Mkuu wa Utawala wa nchi hiyo.
20:33 , 2025 Dec 07
2